Sunday 11 December 2016

JKT: TANGAZO KWA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI 2016


TAARIFA KWA UMMA

1.    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linawatangazia vijana wa Kitanzania wito wa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria Operesheni Magufuli awamu ya pili na Vijana wa Kujitolea.

2.    Vijana wanaotakiwa kujiunga na mafunzo hayo ni kama ifuatavyo:-

      a.   Vijana wa Mujibu wa Sheria Operesheni Magufuli Awamu ya Pili.
             Kundi hili linahusisha wanafunzi wote waliomaliza kidato cha sita mwezi Mei mwaka 2016, ambao hawakuchaguliwa kwenye mafunzo ya JKT Mujibu  wa Sheria Operesheni Magufuli awamu ya kwanza na hawakupata nafasi ya kujiunga vyuo vya elimu ya juu. Aidha, orodha kamili ya majina na makambi waliyopangiwa inapatikana kwenye tovuti ya Jeshi la Kujenga Taifa, ambayo ni www.jkt.go.tz  na Tovuti Kuu ya Serikali www.tanzania.go.tz

      b.      Vijana wa Kujitolea
Kundi hili linahusisha Vijana wote waliosailiwa mwezi Mei na  Juni mwaka 2016 katika ngazi za wilaya na mkoa  na kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT.
3.   Vijana hao wa Mujibu wa Sheria na Kujitolea wanatakiwa kuripoti katika makambi ya JKT waliyopangiwa wakiwa na vifaa vifuatavyo:
      a.  Bukta ya rangi ya bluu iliyokoza (Dark blue) yenye mpira kiunoni (lastic), iliyo na mfuko mmoja nyuma isiyo na zipu, iwe na urefu  unaoishia magotini.                 

       b.  Raba ngumu za michezo zenye rangi ya kijani au nyeusi.

       c.  Shuka jozi mbili za kulalia zenye rangi ya bluu bahari ukubwa wa 4x6.
       d.  Soksi za michezo jozi mbili rangi nyeusi.

       e.  Chandarua moja ya duara rangi ya bluu au kijani ukubwa wa 4x6.

        f.  Nguo za michezo (truck suit) jozi moja rangi ya kijani au bluu.

        g.  Fulana (T-shirt) ya kijani isiyokuwa na maandishi yoyote.

        h.  Mavazi hayo yasiwe ya kubana mwili.

4.  Inasisitizwa kuwa vijana wa kujitolea wanaotakiwa kuripoti makambini ni wale tu waliopita katika usaili kwenye ngazi
za wilaya na mikoa na kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT.

5.  Vijana hao wa Mujibu wa Sheria na  Kujitolea wanatakiwa kuripoti kwenye makambi ya JKT waliyopangiwa kuanzia
tarehe 01 mpaka 05 Desemba 2016 kwa kujitegemea nauli ya kwenda na kurudi.

 BOFYA JINA LA KIKOSI HAPO CHINI  KUANGALIA MAJINA JA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI  2016  

BULOMBORA JKT-KIGOMA                     

      RWAMKOMA JKT -MARA         
         MSANGE JKT-TABORA

KANEMBWA JKT-KIGOMA                
                         MTABILA-KIGOMA            
          RUVU JKT-PWANI

MAKUTUPORA JKT- DODOMA                  
         MGAMBO JKT-TANGA        

MAFINGA JKT- IRINGA                                
                                       MLALE JKT -RUVUMA


Imetolewa na:
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya JKT
Tarehe 17 Novemba 2016
Share:

JKT: KUONGEZWA MUDA WA KUPOKELEWA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI 2016




TAARIFA KWA UMMA

Jeshi   la   Kujenga   Taifa   kwa   mara   nyingine   tena, 
linawatangazia wanafunzi wote waliohitimu kidato cha
sita   mwezi   Mei   2016,   ambao   hawakuchaguliwa
kujiunga   na   mafunzo   ya   JKT   Mujibu   wa   Sheria
Operesheni   Magufuli   Awamu   ya   Kwanza   na
hawakupata nafasi ya kujiunga na vyuo vya elimu ya
juu, kuripoti kwenye makambi ya JKT waliyopangiwa
kabla ya tarehe 13 Desemba 2016 .
Aidha, Jeshi la Kujenga Taifa linaukumbusha umma
kuwa   ni   kosa   la   jinai   kwa   kijana   aliyetangaziwa
kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria
kushindwa kujiunga na mafunzo hayo.
Kosa hilo la jinai, ni kwa mujibu wa Sheria ya Jeshi la
Kujenga Taifa, Sura Namba 193 ya mwaka 1964 na
kufanyiwa mapitio mwaka 2002 kifungu cha 11 kifungu
kidogo cha (8).
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa mwanafunzi
yeyote   atakayeshindwa   kuripoti   ndani   ya   muda
uliopangwa   wa   kuanza   mafunzo   ya   JKT   Mujibu   wa
Sheria   Operesheni   Magufuli   Awamu   ya   Pili   mwaka
2016.


Imetolewa na
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa
Tarehe 07 Desemba 2016

Share:

HESLB: WADAIWA SUGU KUHUDUMIWA IJUMAA, JUMAMOSI NA JUMAPILI

Image result for WANAPORTAL HESLB

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya zoezi la kuwataka wadaiwa sugu kulipa madeni yao ndani ya siku 30, Ofisi za Bodi ya Mikopo zilizopo Mwenge, jijini Dar es Salaam zitakuwa wazi kwa siku tatu, Ijumaa, Disemba 09, 2016,  Jumamosi, Disemba 10, 2016 na Jumapili, Disemba 11, 2016 kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri ili kutoa fursa muhimu kwa wadaiwa wote wa mikopo ya elimu ya juu ambao hawajaanza kurejesha mikopo yao kupata taarifa kuhusu madeni yao na kulipa.
Njoo na Majina yako kamili, Chuo ulichosoma, Mwaka wa kuanza na wa kuhitimu, anuani yako ya barua pepe (email), nambari ya simu yako ya kiganjani, mwajiri wako na Check Number yako iwapo umeajiriwa serikalini.
Nyote mnakaribishwa ili kutumia fursa hii muhimu kabla ya zoezi kuhitimishwa na hatua za kisheria kuanza kuchukuliwa.
‘Kuwa Mzalendo, Rejesha Mkopo wa Elimu ya Juu’
Kwa mawasiliano zaidi piga 0763 459165 au 0767 513208
 

Imetolewa na:
MKURUGENZI MTENDAJI
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
08/12/2016
Share:

HESLB: Orodha ya WADAIWA SUGU

Image result for WANAPORTAL HESLB
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu kuanzia mwaka wa masomo 1994/1995. Wasugu hao wanapewa siku 30 kulipa madeni yao ndani ya muda huo kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa na wahusika kulazimika kulipia gharama za kuwasaka na kuendesha kesi. 

Kwa mawasiliano zaidi piga 0763 459 165 au 0767 513 208 au tembelea ofisi zetu za Makao Makuu, Dar es salaam au ofisi zetu za kanda zilizopo Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Arusha.

INSTITUTIONS LIST

S.NoInstitution NameCode
1Zanzibar UniversityZU
2Zanzibar Institute of Finance & AdministrationZIFA
3Water Development & Management Institute(Chuo cha Maji - Ubungo)WDMI
4University of DodomaUDOM
5University Of Dar Es SalaamUDSM
6University of ArushaUOA
7Tumaini University Makumira CampusMUCO
8Tumaini University KCMC CampusTUKCMC
9Tumaini University Iringa CampusTUICO
10Tumaini University Dar es salaam CampusTUDARCO
11Teofilo Kisanji UniversityTEKU
12Tanzania Institute of AccountancyTIA
13Stephano Mosha Memorial University CollegeSMMUCO
14State University of ZanzibarSUZA
15St.John's University of Tanzania DSMSJUTDSM
16St.John's University of TanzaniaSJUT
17St. Joseph University in Tanzania, Arusha CampusSJUTAC
18St. Joseph College of EngineeringSTJCE
19St. Augustine UniversitySAUT
20Sokoine University of AgricultureSUA
21Sebastian Kolowa University CollegeSEKUCO
22SAUT MtwaraSAUTMTR
23Ruaha University collegeRUCO
24Primary Healthy Care InstitutePHCI
25Overseas InstitutionsOVERSEAS
26Open University of TanzaniaOUT
27Not ApplicableNTAPP
28Newman Institute of Social WorkNISW
29National Institute of Transport.NIT
30Mzumbe UniversityMU
31Mwenge University College of EducationMWUCE
32Mwalimu Julius K. Nyerere University of Agriculture and TechnologyMJNUAT
33Mwalim Nyerere Memorial AcademyMNMA
34Muslim University of MorogoroMUM
35Muhimbili University of Health and Allied SciencesMUHAS
36Mount Meru UniversityMMU
37Moshi University College of Cooperatives and Business Studies.MUCCOBS
38MODERN COMMERCIAL INSTITUTEMCISTU
39Mlimani School of Professional Studies - Dar es SalaamMLIMANI
40Mkwawa University College of EducationMUCE
41Mbeya Institute of TechnologyMIST
42Masoka Management Training InstituteMASOKA
43KAM College of Health Sciences -DSMKAM
44JORDAN UNIVERSITY COLLEGE-MOROGOROJUCM
45International Medical and Technological UniversityIMTU
46Institute of Social WorkISW
47Institute of Rural Development PlanningIRDP
48Institute of Jounalism & Mass CommunicationIJMC
49Institute of Finance ManagementIFM
50Institute of Adult EducationIAE
51Institute of Accountancy ArushaIAA
52ILEMI POLYTECHNIC COLLEGE-MBEYAIPCM
53Hubert Kairuki Memorial UniversityHKMU
54Eckensford Tanga UniversityETU
55Eastern and Southern African Management InstituteESAMI
56DSM Maritime InstituteDMI
57Dar es salaam University College of EducationDUCE
58Dar es salaam Institute of TechnologyDIT
59Community Development Training InstituteCDTI
60College of Engineering & TechnologyCOET
61College of Education ZanzibarCEZ
62College of Business Education(DSM campus)CBE
63College of Business Education(Dodoma campus)CBE DODOMA
64College of African Wildlife Management MwekaMWEKA
65Bugando College of Health SciencesBUCHS
66Arusha Technical CollegeATC
67Ardhi UniversityARU
68Agakhan UniversityAKA
Share:

Saturday 26 November 2016

NACTE: PUBLIC NOTICE - ON ACTIONS TAKEN AGAINST TECHNICAL INSTITUTIONS THAT VIOLATED THE CONDITIONS IMPOSED BY THE COUNCIL

                     THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION 
 

PUBLIC NOTICE

The National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body established under the National Council for Technical Education Act, Cap. 129, to oversee and coordinate the provision of technical education and training in Tanzania.  Under the establishing Act, in order to attain and maintain the status of a training provider, all institutions are required to be registered, accredited and have their curricula approved by the Council. Institutions are not allowed to start offering any programme without the approval of the Council.

The Council conducts monitoring visits to technical institutions to assess their compliance with NACTE academic quality standards in delivering the training programmes. As per Registration and Accreditation Regulations, non-compliance with any NACTE requirement is an offence. The regulations stipulate the actions to be taken for each offence. Based on findings of the Monitoring Teams, the Council is empowered to take actions against institutions that are not complying.

The Council is hereby informing the public that it has taken different actions to 48 technical institutions for various offences, committed by the same, as follows:

1.0       Failure to Observe Conditions Imposed on Certificate of Registration

The Council has cancelled the granted Certificates to 26 technical institutions, which have failed to observe the conditions imposed on the Certificate of Registration. This decision is made pursuant to Regulation 20 of the Registration of Technical Institutions Regulations, 2001. Technical institutions that have been de-registered are as listed in Table 1 below:

Table 1: De-registered Technical Institutions

S/N
INSTITUTION
1
Institute of Management and Development Studies – Iringa
2
Green Hill Institute – Mbeya
3
Institute of Business and Social Studies – Mbeya
4
Loyal College of Africa – Mbeya
5
Mbeya Training College – Mbeya
6
Mbengwenya College of Business and Information Technology –Mbinga
7
New Focus College – Mbeya
8
Shukrani International College of Business and Administration –  Mbeya
9
Majority Teachers College – Mbeya
10
Rukwa College of Health Sciences – Sumbawanga
11
MAM Institute of Education – Mbeya
12
Litembo Health Laboratory Sciences School - Mbinga
13
Belvedere Business and Technology College – Mwanza
14
Geita Medical Laboratory Sciences and Nursing Training College – Geita
15
Global Community College – Geita
16
Muleba Academy Institute – Muleba
17
St. Bernard Health Training Institute – Katoro, Geita
18
Victoria Institute of Tourism and Hotel Management – Mwanza
19
Gisan Institute of Health Sciences – Mwanza
20
Dar es Salaam Institute of Business Management – Dar es Salaam
21
SAMFELIS College of Business Studies – Dar es Salaam
22
Ellys Institute of Technology – Bunda, Mara
23
Tanzania Institute of Chartered Secretaries and Administrators – Arusha
24
Emmanuel Community College – Kibaha
25
Modern Commercial Institute – Dar es Salaam
26
Marian College of Law – Dar es Salaam

2.0       Offering Un-Approved Programmes in Un-Recognised Departments

Technical institutions are required to seek for approval of the Council prior to offering any programme. This approval entails validation of curriculum for the intended programme and recognition of a department earmarked to offer that programme. The Council has identified 20technical institutions offering un-approved programmes as listed in Table 2 below:

Table 2: Technical Institutions Offering Un-Approved Programmes

S/N
INSTITUTION
PROGRAMME(S)
1
MISO Teachers College – Mafinga
Competence Building Network (CBN) - a Certificate in Early Childhood Education
2
Tusaale Teachers College - Mafinga
Competence Building Network (CBN) - a Certificate in Early Childhood Education
3
The St. Joseph’s College, the institute of Business and Management (SJCIBM) – Morogoro
Certificate Nursery Teaching and Kindergarten (Early Childhood Education),
Certificate in Full Secretarial Course (I & II)
Certificate in Journalism and Mass Communication
Certificate in Sales and Marketing
4
The Golden Training Institute – Dar es Salaam

Certificate in Records Management
Certificate in Hotel Management
Certificate in Information Technology
Certificate in Clearing and Forwarding
Certificate in Nursery Teachers (Early Childhood Education)
Certificate in Records Management
5
Nkrumah Mkoka Teachers College – Kongwa, Dodoma
Certificate in Information and Communication Technology (ICT)
Certificate in Community Development
6
National Institute of Agriculture (Chuo cha Kilimo cha Taifa) – Arusha
Certificate in General Agriculture
Certificate in Animal Health and Production
7
Musoma Utalii Training College – Musoma
Certificate in Business Administration
Certificate in Hotel Management
Certificate in Journalism
Certificate in Airline Management
Certificate in Records Management
Certificate in Tour Guide Operation
8
Mwanza Polytechnic Institute – Mwanza
Certificate in Journalism
Certificate in Tourism and Hotel Management
Certificate in Early Childhood Education and Development
Computer Application
9
Mwanza Polytechnic Institute – Maswa
Technician Certificate in Pharmacy
Certificate in Secretarial Studies
Certificate and Diploma in Early Childhood Education and Development
10
Ruter Institute of Financial Management – Mwanza
Diploma in ICT
Diploma in Banking and Finance
Diploma in Accountancy
Diploma in Procurement and Supply
11
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Mwanza
Certificate and Diploma in Human Resource Management
Certificate and Diploma in Journalism
Certificate and Diploma in Business Administration
Certificate and Diploma in Law
12
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Geita
Certificates and Diploma in ICT, Journalism, and Business Administration
Certificates and Diploma in Journalism
Certificates and Diploma in Business Administration
Certificates and Diploma in ICT
13
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Bukoba
Certificate and Diploma in Law
Certificates and Diploma in Human Resource Management
Certificates and Diploma in Business Administration
Certificates and Diploma in Journalism
14
Singni International Training Institute – Bukoba
Certificates in ICT
Certificate in Business Administration
Certificate in Tourism and Hotel Management
15
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Kahama
Certificate and Diploma in ICT
Certificate and Diploma in Journalism
Certificate and Diploma in Business Administration
16
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Simiyu
Certificate and Diploma in Human Resource Management
Certificates and Diploma in Journalism
Certificates and Diploma in Business Administration
Certificates and Diploma in Law
17
Richrise Teachers College – Geita
Certificate in Early Childhood Education
18
Twiga Training Institute – Musoma
Certificates in Journalism
Certificates in Business Administration
19
Zoom Polytechnic Institute – Bukoba
Certificates and Diploma in ICT
Certificates and Diploma in Business Administration
20
St. Thomas Training College – Shinyanga
Certificates in Tourism and Hotel Management
Certificates in ICT
Certificates in Early Childhood Education
Certificates in Secretarial Studies


3.0       Offering Programmes in Satellite Centres/ Campuses

The Council requires all programmes to be offered in registered centres/campuses after being verified that they are conducive for offering training. However, two (2) technical institutions have been found offering programmes in satellite centres/campuses that are not registered by the Council.  These technical institutions are listed in Table 3 below:

Table 3: Technical Institutions with Satellite Centres/Campuses

S/N
INSTITUTION
1
Mufindi Teachers College – Mafinga
2
Rungemba Teachers College – Mafinga

ISSUED BY:
EXECUTIVE SECRETARY
NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
DATED: 15TH NOVEMBER 2016
Share: