Saturday 27 August 2016

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA PILI NA KUONGEZWA KWA MUDA WA KUFANYA MAOMBI KATIKA KOZI ZA CHETI NA DIPLOMA KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017

 TAARIFA KWA UMMA  TAARIFA KWA UMMA 

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu wote walioomba kudahiliwa katika kozi za cheti na diploma na umma kwa ujumla kuwa lilifunga dirisha la maombi mnamo tarehe 15 Agosti 2016 ili kuruhusu uteuzi wa awamu ya pili kwa waombaji wa kozi hizo. Uteuzi wa awamu ya pili kwa waombaji wa cheti na diploma unatarajiwa kutangazwa tarehe 31 Agosti 2016.


Baraza pia linapenda kutoa taarifa  kuwa Mfumo wa Pamoja wa Udahili (CAS) utafunguliwa tena tarehe 1 Septemba 2016 hadi tarehe 15 Septemba 2016 ili kujaza nafasi za udahili zitakazokuwa wazi baada ya uchaguzi wa awamu ya pili. Hatua hii itawezesha kuruhusu machaguo mapya kwa wale ambao hawakuchaguliwa katika kozi walizoomba pamoja na  kuruhusu waombaji wapya ambao kwa njia moja au nyingine hawakuomba udahili hapo awali.


Baraza pia linapenda kuwaarifu waombaji waliofanya maombi kwenye vyuo vya Ualimu vya Serikali kuwa uteuzi kwenye vyuo hivyo bado unasubiri mwongozo wa Serikali na hivyo watafahamishwa punde Baraza litakapopata mwongozo kutoka Wizara yenye dhamana ya Elimu juu ya uchaguzi huo. Waombaji wa vyuo hivi wanashauriwa kusubiri na kutokubadili machaguo yao hadi kutangazwa kwa uteuzi kwa vyuo vya Ualimu vya Serikali.


Aidha, Baraza linapenda kuwafahamisha waombaji wa Shahada ya Kwanza waliofanya maombi kupitia Mfumo wa Pamoja wa Udahili (CAS) wa Baraza kabla ya tarehe 16 Julai 2016 ambapo Tume ya Vyuo Vikuu ilitoa tangazo juu ya sifa za udahili na hawajafikisha sifa hizo kwamba unafanyika utaratibu wa kuwarudishia fedha zao. Utaratibu huu utamalizika baada ya kukamilisha tathmini ya idadi ya waombaji wa aina hiyo. Hivyo wahusika wanaombwa kuwa na subira  mpaka tathmimi itakapokamilika.

Imetolewa na
Ofisi ya Katibu Mtendaji
NACTE
Tarehe: 26 Agosti, 2016
Share:

Wednesday 17 August 2016

INSTITUTIONS NOT REGISTERED BY NACTE AND OFFERING UN-APPROVED CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION

(NACTE)


PUBLIC NOTICE

The National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body established under the National Council for Technical Education Act, Cap. 129, to oversee and coordinate the provision of technical education and training in Tanzania. Under the establishing Act, all institutions are required to be registered and accredited by the Council in order to attain the status of a training provider.

The Council is hereby giving fourteen (14) days notice from the date of this Notice, to all technical institutions that are operating without being registered to ensure that they are registered with the Council. This Notice is issued pursuant to Regulation 5 of the Registration of Technical Institutions Regulations, 2001.

Further notice is given that failure to comply with this notice shall automatically lead to imminent closure of the technical institutions as provided for by the law.

The Table below provides the list of technical institutions that have been identified and are operating without being registered.

The general public is requested to inform the Council on any institution operating without being registered or offering un-approved programmes.
Table: Institutions not registered by NACTE and Offering Un-Approved Certificate and Diploma Programmes
S/N
  Institution
1.       
King Solomoni College - Arusha
2.       
Avocet College of  Hotel Management - Arusha
3.       
Kewovac Nursing Training Centre - Mbagala, Dar es Salaam
4.       
St. Family Health Training Institute - Mbagala, Dar es Salaam
5.       
Bethesda Montessori Teachers Training College - Arusha
6.       
Green Themi Teacher’s College & Green Themi Institute of Tourism
7.       
Mainland Institute of Professionals - Arusha
8.       
St. David College of Health - Dar es Salaam
9.       
Islamic Culture School - Dar es Salaam
10.    
Tanzania Education College - Dar es Salaam
11.    
Macmillan Training College - Dar es Salaam
12.    
Tanzania International University (TIU) - Dar es Salaam
13.    
Dodoma College of Business Management - Dodoma
14.    
Faraja Health and Emergencies - Mbeya
15.    
St. Joseph College - Mbeya
16.    
St. Peter Health Management - Mbeya
17.    
Kapombe Nursing School - Mbeya
18.    
Uyole Health Institute - Mbeya
19.    
Josephine Health Institute - Mbeya
20.    
Institute of Public Administration - Chake chake Pemba
21.    
Dar es Salaam College of Hotel and Business Studies - Vuga, Unguja, Zanzibar and Chake Chake, Pemba, Zanzibar
22.    
Zanzibar Training Institute, the Professional College of Information Technology, Languages and Business Studies - Mwera Meli Sita Unguja  Zanzibar
23.    
Azania College of Management - Raha Leo, Zanzibar
24.    
Time School of Journalism - Chakechake, Pemba
25.    
Residence Professional College - Mombasa, Zanzibar  
26.    
Mkolani Foundation Organisation - Mwanza
27.    
Institute of Adult Education-Mwanza Campus - Luchelele Site
28.    
Zoom Polytechnic - Bukoba
29.    
Johrow Star Training College - Shinyanga
30.    
St. Thomas Training College -
31.    
Dar es Salaam School of Journalism and Mass Communication DMSJ - Bukoba
32.    
Dar es Salaam School of Journalism and Mass Communication (DMSJ - Mwanza
33.    
Dar es Salaam School of Journalism and Mass Communication (DMSJ - Geita 
34.    
Dar es Salaam School of Journalism and Mass Communication (DMSJ - Simiyu
35.    
Harvest Institute of Health Sciences - Mwanza
36.    
Singin International - Bukoba
37.    
College of Business Management - Mombasa, Zanzibar
38.    
Tanzania Star Teachers College - Chakechake, Pemba, Zanzibar
39.    
Tanzania Star Teachers College - Unguja, Zanzibar
40.    
St. Mary's International School of Business - Sumbawanga

Issued by:
EXECUTIVE SECRETARY
NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
DATED: 3RD AUGUST 2016
Share:

Call for Applications for Admission into Higher Education Institutions for academic year 2016/2017 for Applicants with NTA6/Diploma Teachers/FTC/Equivalent Qualification.

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION

(NACTE)


PUBLIC NOTICE
Call for Applications for Admission into Higher Education Institutions through the Central Admission System (CAS) for academic year 2016/2017 for Applicants with NTA6/Diploma Teachers/FTC/Equivalent Qualification.



Share:

PUBLIC NOTICE - ON INSTITUTIONS THAT ARE OFFERING UN-APPROVED PROGRAMMES

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION

(NACTE)


PUBLIC NOTICE

The National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body established under the National Council for Technical Education Act, Cap. 129, to oversee and coordinate the provision of technical education and training in Tanzania.

Under the establishing Act, all institutions are required to be registered and accredited by the Council in order to attain the status of a training provider. The Council is also empowered to validate and approve courses for the awards of the Council. It has come to the attention of the Council that there are technical institutions which though registered are offeringrogrammes without the approval of the Council.

The Council is hereby giving fourteen (14) days notice from the date of this notice, to all technical institutions that are offering programmes without the approval of Council to ensure that they stop henceforth and thereafter contact the Council on further directions regarding the affected students.

Further notice is given that failure to comply with this notice shall automatically lead to imminent closure of the technical institutions as provided for by the law.

The Table below provides a list of technical institutions that have been identified and are offering programmes without the approval of the Council.

Table I: Institutions that are Offering Unapproved Programmes

S/N
INSTITUTION
PROGRAMME
1
AP and Prime College of Business Studies - Dar es Salaam
Medical Attendant
Nursing Assistant
2
Universal College of Africa - Dar es Salaam
Banking and Finance
Business Administration
Clearing and Forwarding
Airfares
Information and Communication Technology
Nursing
Hotel Management
Secretarial Course
Procurement and Supplies
3
Professional Skills Development International  (PSDI-CENTRE) Centre - Bagamoyo
Offering Non-NTA programmes (Various Short Courses)
4
Ruter Institute of Financial Management - Mwanza
Accountancy
Procurement and Supply
Banking and Finance
ICT
5
Mwanza Polytechnic College - Maswa
Ordinary Diploma in Early Childhood Education
6
Royal College of Tanzania - Dar es Salaam
Law
7
Belvedere Business and Technology College - Mwanza
Accountancy
8
Chato College of Health Sciences and Technology - Chato
Pharmacy
9
St. Glory College of Health and Allied Sciences - Dar es Salaam
Medical Attendant

10
Zoom Polytechnic College - Dar es Salaam
Computer Science

11
Zanzibar Technology College - Zanzibar
·  Computer Science
·  Business Information System



ISSUED BY:
EXECUTIVE SECRETARY
NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
DATED: 3RD AUGUST 2016

Share: