Friday 20 October 2017

HESLB : ORODHA YA KWANZA YA MAJINA YA WALIOPATA MIKOPO 2017/2018 AWAMU YA KWANZA

Image result for HESLB TZ WANAPORTAL.BLOGSPOT

 Higher Education Students' Loans Board

Waombaji wa Mwaka wa Kwanza

Tunapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2017/2018 kuwa, baada ya uchambuzi wa maombi yao, Orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 10,196 wa mwaka wa kwanza waliofanikiwa kupangiwa mikopo imekamilika.

Kiasi cha Tshs 34.6 bilioni kimetengwa kwa ajili ya wanafunzi hao 10,196. Kwa ujumla, Tshs 108.8 bilioni zitatolewa kwa wanafunzi 30,000 wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/2018.
  
Orodha hiyo ya kwanza inapatikana kwenye tovuti ya Bodi ya Mikopo (www.heslb.go.tz) na itatumwa kwa vyuo husika. Orodha nyingine (batches) zitafuata kadri taratibu za udahili na uchambuzi zinavyokamilika. Lengo ni kutoa majina ya wote waliofanikiwa kupata mkopo kabla ya vyuo kufunguliwa mwishoni mwa mwezi huu wa Oktoba, 2017.

Orodha hii ya wanafunzi 10,196 imepatikana baada ya kupokea na kuchambua Awamu ya Kwanza ya majina ya wanafunzi 32,495 waliopata udahili katika chuo kimoja. Itakumbukwa kuwa moja ya sifa kuu za kupata mkopo ni mwombaji kupata udahili katika taasisi ya elimu ya juu inayotambuliwa na Serikali.

Wanafunzi waliopata udahili katika chuo zaidi ya kimoja na ambao wana sifa za kupata mikopo, watapangiwa mikopo baada ya kuchagua na kuthibitisha chuo watakachojiunga kwa ajili ya masomo.

Tshs 318 bilioni zatengwa kwa ajili ya wanaoendelea na masomo

Wakati huohuo, tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wa elimu ya juu wanaoendelea na masomo na umma kwa ujumla kuwa tunatarajia kuanza kutuma vyuoni fedha za mikopo ya wanafunzi wanaoendelea na masomo ambao wamefaulu mitihani yao kuanzia leo, Jumatano, Oktoba 18, 2017.

Kiasi cha Tshs 318.6 bilioni kitatolewa kwa wanafunzi 93,295 wanaoendelea na masomo kwa mwaka wa masomo 2017/2018. Tayari Serikali imeshatoa fedha hizo na lengo la Bodi ni kuhakikisha fedha zinafika vyuoni kabla ya kufunguliwa kwa vyuo ili kuwaondoloea wanafunzi usumbufu.

Hitimisho
Bodi ya Mikopo inawasihi waombaji wa mikopo kuwa na subira wakati ikiendelea kukamilisha maandalizi ya orodha zinazofuata za wanafunzi waliopata mikopo. Tutaendelea kutoa taarifa kwa vyombo vya habari na tovuti ya Bodi mara kwa mara.
Kupata orodha kamili bofya hapa
Mwisho.
Imetolewa na:
ABDUL-RAZAQ BADRU
MKURUGENZI MTENDAJI
JUMATANO, OKTOBA 18, 2017
Share:

Monday 9 October 2017

MZUMBE : TANGAZO MAALUM KWA WATAKAO-APPLY CHUO KIKUU MZUMBE KWA AWAMU YA PILI


Mzumbe University wishes to inform all applicants that the call for second round of application is meant for those who did not apply or complete the application process during the first round. For candidates whose applications were not successful in the first round of selection are ADVISED not to make a new application because the University has their details in the MU database. However, they should REGISTER their concerns by sending short text message (SMS) to only one of the following numbers: 076708646907851640740710805711 or 0629130221. In the SMS, please write your correct names as they appear in your form four certificates, your form Four index number (for all sittings) and express your interest to be considered in the second selection and the readiness to study in any of our campuses (Morogoro or Mbeya)
If you have already contacted one of our University admission officials, kindly note that your concern has already been received and the University is working on it.
The deadline for this exercise is on Tuesday 10th October, 2017
ISSUED BY THE OFFICE OF DEPUTY VICE CHANCELLOR (ACADEMIC)
MZUMBE UNIVERSITY,Tel:+255-23-2931220/1/2
P.O.BOX. 1,Fax: +255-23-2931216
MZUMBEMobile: 0767086469,0785164074
TANZANIA0710805711,0629130221
TANZANIAEmail: mu@mzumbe.ac.tz
Share:

MZUMBE : MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU MZUMBE 2017/2018



List of Selected Candidates for 2017/18 Academic year... 

The candidates list attached below have been selected to join various undergraduate programmes at Mzumbe University (MU) in the academic year 2017/2018. Selected candidates are required to download an admission letter and invoice at http://aris.mzumbe.ac.tz:8080 by logging-in using the Form Four index number (Sxxx/xxx/year) as Username and your surname in small letters as Password. After logging-in, candidates will be able to download and print invoice for payments, admission letters and joining instructions and various forms necessary for registration.

Get the list of Selected Candidates here.. 




Share:

SUA : MAJINA YENYE MATATIZO KATIKA MAOMBI YA KUJIUNGA CHUO CHA KIKUU CHA SOKOINE 2017/2018

HOME

SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE

List of Undergraduate Degree Students With Problems




Share:

SUA : MAJINA YA WALIOCHAGULIWA/WALIOKUBALIWA KOZI ZAIDI YA MOJA CHUO KIKUU SUA 2017/2018

HOME

SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE

List of Undergraduate Degree Students With Multiple Admissions




The following applicants have been selected to join various degree programmes for the 2017/2018 academic year but have also been selected by other Universities. Sokoine University of Agriculture wishes to request individual students with multiple admission to confirm that they will join SUA by writing to us using our email confirmation@suanet.ac.tz. | Read More

Share:

SUA : AWAMU YA KWANZA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU CHA SOKOINE 2017/2018

HOME

SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE

First Batch of Students Selected to Join Undergraduate Degree Programmes for Academic Year 2017/2018




The following applicants have been selected to join various degree programmes for the 2017/2018 academic year which commences on the 30th October, 2017. Students are advised to observe the following:| Read More

Share:

Saturday 7 October 2017

TIA : Selected Bachelor Degree Applicants for 2017/2018 Academic Year

 

Selected Bachelor Degree Applicants for 2017/2018 Academic Year


NOTE:
Selected applicants with multiple admissions are requested to make confirmation to TIA about their intention to join into programmes they have been admitted through Telephone number +255 25 2502276( Mbeya campus ),+ 255 26 2502125( Singida campus), +255 22 2850717(Dar es salaam campus) and +255 28 2570475( Mwanza campus) or email us at tia@tia.ac.tz (Dar es salaam), tiambeya@tia.ac.t (Mbeya), tiasingida@tia.ac.tz( Singida), tiamwanza@tia.ac.tz (Mwanza) .When sending us an email remember to write your full name, course selected and campus. Confirmation should be done before 10/10/2017

Share:

TCU : JINSI YA KUFANYA APPLICATION TENA (KU-REAPPLY) CHUO KIKUU How to reapply through Central Admission System 2017/2018

TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU)tcu banner 


How to reapply through Central Admission System
 
Who can re-apply?
All students who lodged their application into Central Admission System (CAS) during previous admission cycles but for some reasons they are no longer students, i.e. students who were discontinued from studies for academic reasons, students who terminated their studies due to financial, health or family issues etc.

How to re-apply?
1. Get admission termination/discontinuation letter from your institution.
       DOWNLOAD AND FILL RE-APPLICATION FORM HERE . . .

Note: The following information must be filled in the form.
a. Your Full Name
b. Your F4 and F6 Index Number
c. The name of the programme and Institution admitted before.
d. The reason for termination of your admission

2. Attach the form with the letter from institution and send to the address:

The Executive Secretary
Tanzania Commission for Universities
P.O.BOX 6562,
Dar es Salaam
Email: es@tcu.go.tz | admission@tcu.go.tz

How to postpone studies
Postponement procedures differ between the institutions. Students are advised to adhere to their institution’s postponement procedures.

FOMU YA RE-APPLICATION
Share:

UDSM : MAJINA YA WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM (UDSM) AWAMU YA KWANZA 2017/2018

Home

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM

Undergraduate Selection 2017-18





The following applicants have been selected to join various undergraduate degree programmes for the 2017/2018 academic year at Mwal. JKN Mlimani, MUCE or DUCE Campuses..
However, they have also been selected to join other Institutions as shown in the list. Kindly log into your UDSM Admission system and confirm your
admission to UDSM before 10th October 2017. Failure to confirm by the deadline will indicate that you have not accepted the offer and your slot will be
filled by other applicants
Share:

ARDHI UNIVERSITY: JOINING INSTRUCTIONS, REGISTRATION FORM, MEDICAL FORM C AND ADMISSION LETTERS FOR THE ACADEMIC YEAR 2017/2018

  • Ardhi University

Joining instructions,registration form, medical form C and admission letters 2017 - 2018

Joining instructions,registration form, medical form C and admission letters for Fresh Undergraduate Students  2017/2018
ADMISSION LETTERS 
The School of Architecture, Construction Economics and Management (SACEM)
The School of Earth Sciences, Real Estates, Business and Informatics (SERBI)
The School of Environmental Science and Technology (SEST)
The School of Spatial Planning and Social Science (SSPSS)

Capture
Share: