Wednesday 3 September 2014

Kampeni dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao Tanzania

                    

Mamlaka ya Mawasiliano nchini Tanzania TCRA inaendesha kampeni inayolenga kukabiliana na matumizi mabaya ya mitandao ya mawasiliano, ikiwemo ya simu na intaneti, maarufku kama "Futa-Delete-Kabisa.
Mkuu wa idara ya mawasiliano ya umma wa TCRA Inncocent Mungi anazungumza na Iddi Ssessanga kuhusu kampeni hii katika makala ya kinagaugaba. Kusikiliza makala hiyo bonyeza hapo chini.
Share:

0 comments:

Post a Comment