Tuesday 18 November 2014

Makala: Wajibu Wa Wananchi Katika Kuzuia Uhalifu

Kataa Uhalifuu
  • Ukiona uhalifu unatendeka toa taarifa mapema katika kituo cha Polisi  au polisi aliye karibu nawe.
  • Endapo utamtilia shaka mtu au watu usiowajua toa taarifa mapema katika vituo vya Polisi,polisi wasaidizi(auxiliary police),walinzi wa amani au ofisi ya serikali ya mtaa/kijiji
  • Usalama wa vyombo vya usafiri kwenye maegesho, kumbuka kufunga pikipiki au baiskeri kwa mnyororo, kuweka alamu katika magari,kuondoa vitu vya thamani ndani ya gari
  • Kuwa na zizi imara la mifugo ili kuzuia wezi na kuiweka mifugo alama
  •  Kuepuka kusafiri na kiwango kikubwa cha fedha na vitu vyenye thamani
  • Kujenga tabia ya kuweka alama kwenye vitu
  • Kutoacha vitu vya thamani katika sehemu za wazi. Hata kama ni ndani ya nyumba vitu vya thamani vifungiwe ndani ya kabati au stoo.
HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI
  •  Kusimamia sheria na kanuni za usalama barabarani mfano kudhibiti mwendo kasi, n.k
  • Kuthibitisha wanaostahili kupewa leseni za udereva
  • Ukaguzi wa magari na madereva
  • Kuongoza magari barabarani yaende kwa mtiririko unaostahili
Source:Jeshi la Polisi Tanzania
Share:

0 comments:

Post a Comment