Saturday, 11 July 2015

Tangazo Kuhusu Usajili wa Kidato Cha Sita 2016 toka NECTA

 Résultat de recherche d'images pour "NECTA TZ"

HII NI KUWAJULISHA WANAFUNZI WOTE WA KIDATO CHA SITA KUWA USAJILI WA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2016 UMEANZA TAREHE 1 JULAI 2015 NA UTAKAMILIKA TAREHE 30 SEPTEMBA 2015
HIVYO JITAHIDI UKAMILISHE HATUA ZOTE ZA USAJILI NDANI YA MDA HUU KATIKA SHULE/KITUO CHAKO
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment