BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
Mkutano huo utaongelea mambo muhimu katika kuboresha sekta ya elimu ya ufundi nchini. Mkutano huo utafunguliwa na Mheshimiwa Profesa Joyce Ndalichako (MB), Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Wamiliki/Meneja wote wa vyuo binafsi, mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na taasisi za kidini mnaombwa kuhudhuria mkutano huo bila kukosa. Mialiko rasmi ya kimaandishi imeletwa kwenu kupitia TAMONGSO, TAPIE, APHECOT, CSSC na BAKWATA.
Imetolewa na:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
0 comments:
Post a Comment