Thursday, 15 June 2023

MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA LABORATORY TECHNICIAN II – IN CIVIL ENGINEERING NIT ULIOFANYIKA TAREHE 15-06-2023

Wasailiwa waliochaguliwa (SELECTED) kuendelea na usaili wanatakiwa kuzingatia muda na sehemu ya kufanyia usaili kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.

  • Wasailiwa wote wanatakiwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (MASK)
  • Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
  • Wasailiwa wote wanatakiwa kufika na vitambulisho vyao


20231506521858result_laboratory Technician II – in Civil Engineering by Daniel Eudes on Scribd

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment